Habari za wiki

Wataalamu kwenye Umoja wa Mataifa wataka haki za wanaobaguliwa kulindwa »

Watu waliotengwa walindwe

Wataalam wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu, wamesema ubaguzi utokanao na mfumo wa matabaka bado umeenea na…

24/05/2013 / Kusikiliza /

Siku ya Vesak siyo kwa mabudha tu: Ban »

Sherehe za siku ya Vesak

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon anasema maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Vesak ambayo ni sherehe…

24/05/2013 / Kusikiliza /
Mapigano yasababishwayo na M23 Mashariki mwa DRC yanatia wasiwasi: Ban » Unyanyapaa kikwazo cha kutokomeza Fistula : UNFPA »

Mahojiano na Makala za wiki

Ban ahamasisha amani Ukanda wa Maziwa Makuu »

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenye kituo cha Heal Afrika mjini Goma

Wiki hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon alikuwa na ziara katika Ukanda wa Maziwa Makuu barani Afrika ambapo pamoja…

24/05/2013 / Kusikiliza /

Fistula yatibika, kila mmoja aahidi kuizuia: UNFPA »

Ugonjwa wa Fistula bado ni tatizo katika mataifa maskini

Mvua inanyesha lakini hali hii haikumzuia Essita Mulhanga, msichana wa umri wa miaka Kumi na Sita kuweza kujikongoja hadi hospitali ili aweze…

22/05/2013 / Kusikiliza /
Magonjwa ya mifugo ni changamoto kubwa kwa wafugaji » Hatua madhubuti zichukuliwe ili kuhakiksha maisha yaliyo bora mijini:UNEP »

Reinada Milanzi: Mlinzi wa amani kutoka Tanzania aliyejikita kujenga uhusiano wa kijinsia katika jamii »

Reinada Milanzi

Shughuli za ulinzi wa amani ni zaidi ya kuzuia mapigano bali pia kuweka mazingira ambamo kwao uhusiano wa kijamii unaweza kuwa bora…

24/05/2013 / Kusikiliza /

Twahitaji wataalamu zaidi wa kutibu Fistula: CCBR »

Dkt. Robert Marenga, Mtaalamu wa kutibu Fistula, CCBRT

  Wakati dunia inaadhimisha siku ya kwanza kabisa ya kutokomeza Fistula, jeraha alipatalo mzazi wakati wa kujifungua iwapo anakosa huduma muhimu au…

23/05/2013 / Kusikiliza /
Utayari wa wasomali umerahisisha mchakato wa amani- Balozi Mahiga » TEKNOHAMA yabadili mfumo wa biashara kwa wajasiriamali wanawake »

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon

Tulifeli Rwanda lakini tuzuie baa linalojitokeza Syria: Ban »

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuungana kuzuia baa linalojitokeza nchini Syria, hata ingawa ilishindwa kuzuia mauaji ya kimbari nchini Rwanda.Bwana Ban…

23/05/2013 / Kusikiliza /

Guinea Bissau na Mashariki ya Kati zaangaziwa katika Baraza la Usalama »

Kikao, Baraza la Usalama

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, leo limefanya vikao viwili: cha kwanza kuhusu hali nchini Guinea Bissau na cha pili kuhsu…

22/05/2013 / Kusikiliza /

Sekta thabiti ya kilimo itasaidia kuimarisha afya: AU »

Nkosazana Dlamini-Zuma

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Dkt. Nkosazana Dlamini-Zuma amehutubia baraza la afya la shirika la afya duniani, WHO hukoGeneva, Uswisi…

21/05/2013 / Kusikiliza /
Makabila ya asili yasipuuzwe, nayo huchangia maendeleo: UM » Baraza kuu la Umoja wa Mataifa laiweka Polynesia kuwa eneo lilo kwenye orodha ya Umoja wa Mataifa ya kuwa huru » Ban na Putin wajadili Syria, Afghanistan na Mashariki ya Kati »
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Siku ya Radio Duniani

Jiunge na Umoja wa Mataifa

MATAYARISHO YA RIO+20

Kuungana

Malengo ya Maendeleo ya Milenia

Mawasiliano mbalimbali

  • Kutokomeza Fistula kutanufaisha jamii -Ban

    Kutokomeza Fistula kutanufaisha jamii -Ban

    Soma Zaidi

  • UM wajielekeza kurejesha amani Mali.

    UM wajielekeza kurejesha amani Mali.

    Soma Zaidi

  • Ban ateua wawakilishi wake maalum huko Mali na Cote D'Ivoire

    Ban ateua wawakilishi wake maalum huko Mali na Cote D'Ivoire

    Soma Zaidi

  • Athari za teknohama zaangaziwa Geneva

    Athari za teknohama zaangaziwa Geneva

    Soma Zaidi

  • Sheria dhidi ya mashirika yasiyo ya kibiashara Urusi ni kandamizi: wataalamu huru UM

    Sheria dhidi ya mashirika yasiyo ya kibiashara Urusi ni kandamizi: wataalamu huru UM

    Soma Zaidi

  • Tufani  Mahasen kuikumba Myanmar na Bangladesh

    Tufani Mahasen kuikumba Myanmar na Bangladesh

    Soma Zaidi

  • Mchango wa misitu na wadudu ni mkubwa kukabili njaa:FAO

    Mchango wa misitu na wadudu ni mkubwa kukabili njaa:FAO

    Soma Zaidi

  • Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu WTO wafikia ukingoni, mtarajiwa ataja vipaumbele

    Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu WTO wafikia ukingoni, mtarajiwa ataja vipaumbele

    Soma Zaidi

  • Mahiga alaani shambulio la bomu na mauaji Mogadishu

    Mahiga alaani shambulio la bomu na mauaji Mogadishu

    Soma Zaidi

  • Machafuko yaendelea kutawanya watu Pakistan:OCHA

    Machafuko yaendelea kutawanya watu Pakistan:OCHA

    Soma Zaidi

  • Maafisa washauri wa wahalifu wapewa medali Sudani Kusini

    Maafisa washauri wa wahalifu wapewa medali Sudani Kusini

    Soma Zaidi

  • Vifo nchini Iraq vimeongezeka saana tangu 2008:UNAMI

    Vifo nchini Iraq vimeongezeka saana tangu 2008:UNAMI

    Soma Zaidi

  • Baraza la usalama lasikitishwa na hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Baraza la usalama lasikitishwa na hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Soma Zaidi

  • UNMISS yakaribisha azimio la amani Sudan Kusini

    UNMISS yakaribisha azimio la amani Sudan Kusini

    Soma Zaidi

Hapa na pale

Siasa zimeteka maswala muhimu, UM

Bosnia na Herzegovina zinapaswa kutukuza utamaduni: Mtaalamu wa UM »

Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na haki za kiutamaduni , Farida Shaheed leo amezitolewa mwito serikali zote mbili Bosnia na Herzegovina kutumia fursa na nafasi zilizopo kuwawezesha wananchi wao…

24/05/2013 / Kusikiliza /

Uamuzi wa kufanyika kesi mpya kwa Rais wa zamani Guatemala kwa watia hofu waathirika:UM »

Rupert Colville

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa inasema inatiwa hofu na haki za waathirika kutekelezwa hukoGuatemalabaada ya mahakama kubadili hukumu…

24/05/2013 / Kusikiliza /

Mkuu wa UNESCO amuenzi mwanamuziki Georges Moustaki »

Mwanamziki mwendazake Georges Moustaki

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO ameelezea simanzi aliyonayo kufuatia taarifa za kifo cha…

24/05/2013 / Kusikiliza /
Wanawake na watoto wana haki ya kuishi kwa usalama na heshima: Ban » Wanawake kutoka jamii za watu wa asili Amerika Kusini wasalia nyuma kisiasa:UNDP » Mzozo wa Israeli-Palestinian usipuuzwe kwa kutupia macho zaidi mapigano ya Syria:UM » IAEA kujenga kituo cha kukabili majanga ya dharura Japan »

Taarifa maalumu

SIKU YA REDIO DUNIANI