Haile Menkerios atakuwa Mkuu wa Ofisi ya UM kwenye AU: Ban
17/05/2013 / Kusikiliza /
Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linandaa misaada kwa maelfu ya wakimbizi kutoka jimbo la Darfur…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Katika kilele cha siku ya jamii habari duniani hii leo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon ametoa…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Wakati idadi ya watu inapoendelea kuongezeka duniani, nayo idadi ya watu mijini inazidi kuongezeka. Watu zaidi wanaendelea kuhamia mijini kutafuta ajira, wakati…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amemteua Mukhisa Kituyi wa Kenya kuwa Katibu Mkuu mpya wa Kamati ya Biashara na…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Mkutano wa kimataifa wa Jamii Habari wa tarehe 13 hadi 17 Mei huko Geneva, Uswisi ulioandaliwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Ripoti ya pamoja ya ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo, DRC,…
15/05/2013 / Kusikiliza /Naunga mkono makubaliano kati ya Urusi na Marekani ya kuandaa kongamano la kimataifa kuhusu Syria, na hiyo ni moja ya kauli za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Hapa mjiniNew York, Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa leo limekutana kujadili maendeleo endelevu na mabadiliko ya tabianchi, likiangazia masuala ya…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linakutana leo kujadili mzozo nchiniSyria, huku ikitarajiwa kuwa Barazahilolitaafikia na kupitisha azimio kuhusu hali hiyo. Mwanzoni…
15/05/2013 / Kusikiliza /
Ban ateua wawakilishi wake maalum huko Mali na Cote D'Ivoire
Athari za teknohama zaangaziwa Geneva
Sheria dhidi ya mashirika yasiyo ya kibiashara Urusi ni kandamizi: wataalamu huru UM
Tufani Mahasen kuikumba Myanmar na Bangladesh
Mchango wa misitu na wadudu ni mkubwa kukabili njaa:FAO
Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu WTO wafikia ukingoni, mtarajiwa ataja vipaumbele
Mahiga alaani shambulio la bomu na mauaji Mogadishu
Machafuko yaendelea kutawanya watu Pakistan:OCHA
Maafisa washauri wa wahalifu wapewa medali Sudani Kusini
Vifo nchini Iraq vimeongezeka saana tangu 2008:UNAMI
Baraza la usalama lasikitishwa na hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati
UNMISS yakaribisha azimio la amani Sudan Kusini
Wanajeshi Mali wapewa mafunzo
Vyandarua ni muhimu katika kupunguza vifo vitokanavyo na Malaria: UNICEF
Wajumbe wa baraza la usalama wamelaani vikali tukio la Mai 15 ambapo kundi la watu wenye silaha wanaoipinga serikali liliwateka wanajeshi watatu wa Umoja wa Mataifa wa mpango wa upatanishi…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP linaongeza operesheni zake za msaada wa dharura Kaskazini mwa Mali na hususani maeneo ya Timbuktu,…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari katika majimbo matatu yaliyoko Mashariki mwa nchi hiyo kufuatia uasi unaendeshwa na kundi…
17/05/2013 / Kusikiliza /