Bangladesh na Brazil zashinda tuzo la UN-Sasakawa
23/05/2013 / Kusikiliza /
Wizara ya afya nchini Saudi Arabia imelifahamisha Shirika la afya duniani WHO kuhusu kuthibitishwa kwa ugonjwa wa kupumua unaofahamika…
23/05/2013 / Kusikiliza /
(SAUTI YA BAN KI-MOON) “Lakini makubaliano hayo ni lazima yatafsiriwe kwa vitendo. Muafaka wa amani ni lazima uzae matunda ya…
22/05/2013 / Kusikiliza /
Mvua inanyesha lakini hali hii haikumzuia Essita Mulhanga, msichana wa umri wa miaka Kumi na Sita kuweza kujikongoja hadi hospitali ili aweze…
22/05/2013 / Kusikiliza /
Ni mpakani mwa Uganda na Kenya, eneo lililo ndani zaidi ambapo jamii ya hapa inategemea zaidi mifugo kwa maisha yao. Katika kusaka…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Balozi Augustine Mahiga anahitimisha wadhifa wake huo mapema mwezi ujao baada ya kuhudumu…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Mkutano wa kimataifa wa Jamii Habari wa tarehe 13 hadi 17 Mei huko Geneva, Uswisi ulioandaliwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa…
16/05/2013 / Kusikiliza /Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, leo limefanya vikao viwili: cha kwanza kuhusu hali nchini Guinea Bissau na cha pili kuhsu hali Mashariki ya Kati. Joshua Mmali ana maelezo…
22/05/2013 / Kusikiliza /
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Dkt. Nkosazana Dlamini-Zuma amehutubia baraza la afya la shirika la afya duniani, WHO hukoGeneva, Uswisi…
21/05/2013 / Kusikiliza /
Kikao cha kudumu cha Umoja wa Mataifa kinachojadili masuala ya makabila asili kimeanza Jumatatu mjini New York, Marekani.Kikao hicho kilianza rasmi kwa…
20/05/2013 / Kusikiliza /
UM wajielekeza kurejesha amani Mali.
Ban ateua wawakilishi wake maalum huko Mali na Cote D'Ivoire
Athari za teknohama zaangaziwa Geneva
Sheria dhidi ya mashirika yasiyo ya kibiashara Urusi ni kandamizi: wataalamu huru UM
Tufani Mahasen kuikumba Myanmar na Bangladesh
Mchango wa misitu na wadudu ni mkubwa kukabili njaa:FAO
Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu WTO wafikia ukingoni, mtarajiwa ataja vipaumbele
Mahiga alaani shambulio la bomu na mauaji Mogadishu
Machafuko yaendelea kutawanya watu Pakistan:OCHA
Maafisa washauri wa wahalifu wapewa medali Sudani Kusini
Vifo nchini Iraq vimeongezeka saana tangu 2008:UNAMI
Baraza la usalama lasikitishwa na hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati
UNMISS yakaribisha azimio la amani Sudan Kusini
Wanajeshi Mali wapewa mafunzo
Utafiti uliotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP inaonyesha kuwa Amerika ya Kusini katika miongo miwili iliyopita imejitahidi kuwajumuisha watu wa asili katika masuala mbalimbali…
23/05/2013 / Kusikiliza /
Afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa ameonya jumuiya ya Mataifa kuendelea kutupia macho mzozo wa Syria huku ikikawia…
23/05/2013 / Kusikiliza /
Wakala wa Umoja wa Umoja wa Mataifa wa nguvu za Atomiki umetangaza mpango wa kuipiga jeki serikali ya Japan ili kufanikisha ujenzi…
22/05/2013 / Kusikiliza /