<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="0.92">
<channel>
	<title>Idhaa ya Redio ya UM</title>
	<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili</link>
	<description>Blogi nyengine ya WordPress</description>
	<lastBuildDate>Wed, 22 Feb 2012 18:24:35 +0000</lastBuildDate>
	<docs>http://backend.userland.com/rss092</docs>
	<language>en</language>
	<!-- generator="WordPress/3.0.3" -->

	<item>
		<title>Wakulima wadogo wanaweza kuulisha ulimwengu IFAD</title>
		<description><![CDATA[Wakulima wadogo wametakiwa kuchukua wajibu mkubwa katika kuulisha ulimwengu miaka inayokuja. Hili ni kwa mujibu wa wataalamu wanaohudhuria mkutano ulioandaliwa na mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD. Huku idadi ya watu duniani ikitarajiwa kugonga watu bilioni 9 ifikapo mwaka 2050 IFAD inasema kwamba wakulima wadogo wanaweza kuchangia kuwepo usalama wa chakula duniani. IFAD inasema [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/wakulima-wadogo-wanaweza-kuulisha-ulimwengu-ifad/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Walioathiriwa na mvua wanahitaji msaada nchini Burundi</title>
		<description><![CDATA[Takriban watu 2000 waliolazimika kuhama makwao kufuatia mvua kubwa kwenye eneo la Gatumba lililo nje ya mji mkuu wa Burundi Bujumbura kwa sasa wanahitaji chakula na makao. Mvua hiyo iliharibu karibu nyumba 400 na kuna hofu ya kutokea kwa uharibifu zaidi kwenye maeneo yaliyoathirika yakiwemo Kinyinya , Mushasha na Muyange. Nyumba hizo zinazungukwa na maji [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/walioathiriwa-na-mvua-wanahitaji-msaada-nchini-burundi/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Japan yafadhili huduma za afya kwenye kanda ya Gaza</title>
		<description><![CDATA[  Serikali ya Japan imetoa msaada wa dola milioni 10 kwa shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia wakimbizi wa kipalestina UNRWA kwa vituo kumi vya afya kwenye ukanda wa Gaza mwaka huu. Makubalino hayo yalitiwa sahihi kwenye mji wa Amman kati ya kamishina mkuuu wa UNRWA Filipo Grandi na balozi wa Japan nchini Jordan Junichi [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/japan-yafadhili-huduma-za-afya-kwenye-kanda-ya-gaza/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Ziara kuhusu masuala ya nyuklia iliyofanywa Iran yakosa kuzaa matunda</title>
		<description><![CDATA[Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na nishati ya nyuklia limeelezea kuhuzunishwa kwake na kutokuwepo mafanikio wakati wa ziara ya siku mbili iliyofanywa nchini Iran ili na lengo la kubainisha shughuli za kinyuklia za taifa hilo. Kundi la wataalamu kutoka kwa shirika la kimataifa la kudhibiti nishati ya nyuklia IAEA walifanya mazungumzo na maafisa kutoka [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/ziara-kuhusu-masuala-ya-nyuklia-iliyofanywa-iran-yakosa-kuzaa-matunda/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laongeza wanajeshi wa kikosi cha AMISON nchini Somalia</title>
		<description><![CDATA[Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha kuongezwa kwa wanajeshi wa kulinda amani kwenye kikosi cha Muungano wa Afrika cha kulinda amani nchini Somalia AMISOM kutoka wanajeshi 12,000 hadi wanajeshi 17,000. Kwenye azimio lililopitishwa leo Jumatano baraza hilo pia liliamua kuongeza usaidizi unaotolewa na Umoja wa Mataifa kwa kikosi hicho. Kikosi cha AMISOM ambacho [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/baraza-la-usalama-la-umoja-wa-mataifa-laongeza-wanajeshi-wa-kikosi-cha-amison-nchini-somalia/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Mabadiliko yanahitajika kwenye usimamizi wa masuala ya mazingira duniani</title>
		<description><![CDATA[Kunahitajika mabadiliko makubwa ya jinsi ulimwengu unavyosimamiwa iwapo changamoto za dunia zingehitaji kutatuliwa kwa watu bilioni saba. Hii ni kutokana na mapendekezo kutokana na utafiti uliondeshwa na shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP kupitia kwa wanasayansi 400 na wataalamu wengine kutoka kote duniani. Mkurugenzi mkuu wa UNEP Achim Steiner anasema kuwa mpango huu [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/mabadiliko-yanahitajika-kwenye-usimamizi-wa-masuala-ya-mazingira-duniani/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Brazil kufadhili ununuzi wa chakula kwenye nchi tano barani Afrika</title>
		<description><![CDATA[Serikali ya Brazil, inatoa dola milioni 2.3 zitakazotumika kufadhili mpango wa kununua chakula uliobuniwa na shirika la kilimo na mazao la Umoja wa Mataifa FAO na lile la mpango wa chakula duniani WFP ili kuwanufaisha wakulima na watu wanaohitaji chakula kwenye nchi tano barani Afrika zikiwemo Ethiopia, Musumbiji, Niger na Senegal. Mpango huo utanunua chakula [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/brazil-kufadhili-ununuzi-wa-chakula-kwenye-nchi-tano-barani-afrika/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Lugha ya Kirusi yakataliwa kama moja ya lugha za taifa nchini Latvia</title>
		<description><![CDATA[Mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa wa masuala kuhusu jamii ndogo Rita Izsak ameitaka serikali ya Latvia kuhakikisha kuwa imelinda haki za jamii ndogo zinazotumia lugha ya kirusi na kufanya mazungumzo baada ya kura ya maoni ya Februari 18 iliyokataa pendekezo la kuitambua lugha ya kirusi kama lugha ya pili ya taifa. Bi Izsak amesema [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/lugha-ya-kirusi-yakataliwa-kama-moja-ya-lugha-za-taifa-nchini-latvia/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Brazil ndiyo itakuwa mwandalizi wa siku ya mazingira duniani</title>
		<description><![CDATA[Shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP limetangaza kuwa taifa la Brazil ambalo ni moja ya mataifa yaliyo na uchumi unaokua kwa haraka zaidi duniani itakuwa mwandalizi wa siku ya mazingira duniani mwaka 2012 ambayo itaadhimishwa tarehe 5 mwezi Juni. Kauli mbiu ya mwaka huu ni &#8216;Uchumi usioathiri mazingira: Inakuhusu wewe ?&#8217; ina lengo [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/brazil-ndiyo-itakuwa-mwandalizi-wa-siku-ya-mazingira-duniani/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Ban ataka mashirikiano ya kimataifa kukabili wimbi la uhalifu na usafirishaji wa madawa ya kulevya</title>
		<description><![CDATA[Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka mashirikiano ya pamoja katika uga wa kimataifa ili kuzikabili hujuma na changamoto zinazotokana na ongeko kubwa la uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya Ripoti za hivi karibuni zinaonyesha ongezeko la kasi la vitendo vya uhalifu, usafirishaji wa madawa ya kulevya na kukua kwa kasi kwa matukio ya [...]]]></description>
		<link>http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/02/ban-ataka-mashirikiano-ya-kimataifa-kukabili-wimbi-la-uhalifu-na-usafirishaji-wa-madawa-ya-kulevya/</link>
			</item>
</channel>
</rss>


