Idhaa ya Redio ya UM

Juni 2009
J J J J A I J
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30

Huduma

 26 Juni 2009
Real Chapisha

WTO/UNEP yametoa ripoti inayothibitisha fungamano hakika kati ya biashara na mabadiliko ya hali ya hewa

Shirika la Biashara Duniani (WTO) na Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) yametangaza bia ripoti mpya yenye kuelezea, kwa mara ya kwanza, fungamano ziliopo baina ya biashara ya kimataifa na athari za mabadiliko ya hali ya hewa.

Ripoti ilisema biashara huru ya kimataifa ni kadhia mojawapo inayosaidia  udhibiti bora wa  mabadiliko ya hali ya hewa kwa kupunguza umwagaji wa hewa chafu kwenye anga, na kurekibisha hali ya mazingira kwa kufarajia zana za kisasa.