Nyumbani » Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Al-Nasser atoa heshima kwa waliopinga Utumwa na Biashara ya Utumwa

Nassir Abdulaziz Al-Nasser

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Nassir Abdulaziz Al-Nasser ametoa heshima zake kwa wale waliopinga utumwa na biashara ya utumwa akisema kuwa ulimwengu ni lazima ufanye jitihada za kuzuia masuala kama…

16/05/2012 / Kusikiliza /

Baraza la Usalama limelaani vikali mashambulizi dhidi ya MONUSCO DR Congo

baraza la usalama

Baraza la Usalama limealaani vikali mashambulizi ya Jumatatu dhidi ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia…

15/05/2012 / Kusikiliza /

Kamanda wa LRA anayehusika na Ukiukaji wa Haki dhidi ya Watoto akamatwa

Radhika Coomaraswamy

Jeshi la Uganda limemkamata Caesar Acellam Otto, mmoja kati ya viongozi wa juu wa kijeshi wa kundi la Lord's…

14/05/2012 / Kusikiliza /

Rais wa Baraza Kuu akutana na Kofi Annan kujadili Syria:

Nassir Abdulaziz Al-Nasser

Rais wa Baraza Kuu Nassir Abdulaziz Al-Nasser leo amekutana na mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa…

08/05/2012 / Kusikiliza /
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031