Nyumbani » Siku ya Radio Duniani

Siku ya Radio Duniani

Radio ya Umoja wa Mataifa enzi hizo

Audrey Hepburn

Jumatano ya tarehe 13 mwezi huu wa February, mamilioni ya watu duniani kote wanasherehekea siku ya Radio duniani. Tukio hili linalenga kuonyesha nguvu ya radio na umuhimu wa matangazo yake yanayofikia mamilioni ya…

12/02/2013 / Kusikiliza /

Umoja wa Mataifa na Radio za kijamii

Wahariri wa habari wa Radio Kwizera wakiwa kazini

Siku ya Radio duniani tarehe 13 mwezi Februari hutoa fursa kwa mashirika ya utangazaji ya kimataifa na kitaifa pamoja…

11/02/2013 / Kusikiliza /

UNESCO yasaidia uandaaji wa mitaala ya uandishi wa habari Tanzania

Rose Haji, Mshauri na Mratibu wa Mafunzo kwa Radio Jamii, UNESCO, Tanzania katika moja ya mafunzo kwa waandishi wa habari

Moja ya sababu zinazowatia waandishi wa habari na watangazaji wa Radio hatarini wanapofanya kazi zao ni ukiukaji wa maadili.…

11/02/2013 / Kusikiliza /

Tega sikio kwa redio itangazayo amani, maendeleo na haki za binadamu: Ban

sg-withradio

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kila mmoja anafaa kuadhimisha Siku ya Redio Duniani kwa kusherehekea…

11/02/2013 / Kusikiliza /
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031