Nyumbani » Habari za wiki

Habari za wiki

Ban ziarani China, kukutana na Rais Xi Jinping kesho

Katibu Mkuu wa UM Ban Ki-Moon katika mazungumzo na watendaji wakuu wa kampuni nchini China

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amewasili nchiniChinaambako tayari ameshakuwa na mazungumzo na kundi la watendaji wa kampuni za kichina ambazo ni sehemu ya mtandao wa kampuni zinazoshirikiana na Umoja huo.…

18/06/2013 / Kusikiliza /

Uganda hupoteza Trilioni 1.8 kila mwaka kutokana na utapiamlo:WFP

Utapiamlo huathiri nguvukazi inayojitaka kwenye kilimo

Uganda imekuwa ikipoteza kiasi cha shilingi Trilioni 1.8 sawa na dola za Marekani Milioni 899 kila mwaka katika pato…

18/06/2013 / Kusikiliza /

Pillay aitaka serikali ya Uturuki na mashirika ya umma kutuliza misukosuko

Navi Pillay

Kamishina mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Navi Pillay amekaribisha uamuzi wa juma lililopita wa serikali…

18/06/2013 / Kusikiliza /

Ban akaribisha kutiwa saini mkataba wa amani Mali

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amekaribisha kusainiwa kwa mktaba wa amani baina ya serikali ya Mali,…

18/06/2013 /
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Juni 2013
T N T K J M P
« mei    
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930