Nyumbani » Habari za wiki

Habari za wiki

IOM yatoa ombi la fedha kuwasaidia waliokimbia makwao nchini Mali

wakimbizi wa Mali

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limetoa ombi la dharura la dola milioni 3.5 zitakazofadhili shughuli za kutoa usaidizi kwa raia wa Mali ambao wamekimbia mapigano kaskazini mwa nchi na kutafuta makao kwenye…

22/05/2012 / Kusikiliza /

UNESCO yazindua mpango wa kutafuta maji yaliyo chini ya ardhi katika pembe ya Afrika

maji yaliyo chini ya ardhi

  Shirika la Elimu, Sayansi na utamaduni la Umoja wa Mataiafa hii leo limezindua mpango ambao una lengo la…

22/05/2012 / Kusikiliza /

Baraza la 65 la afya laanza mjini Geneva:WHO

Margaret Chan

Kikao cha 65 cha baraza la afya duniani kimeanza Jumatatu mjini Geneva. Katika siku sita zijazo wajumbe kutoka nchi…

21/05/2012 / Kusikiliza /

Mratibu wa UM Sudan akaribisha kuendelea kuwasafirisha raia wa Sudan Kusini

raia wa Sudan

Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu nchini Sudan Bwana Ali Al-Za'tari amekaribisha mchakato unaoendelea wa kuwahamisha…

21/05/2012 / Kusikiliza /
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031