Wananchi wa Somalia waanza kufurahia matunda ya amani

Kusikiliza /

Wanajeshi wa AMISOM

Mwanzoni mwa wiki hii mjini Mogadishu kulifanyika shambulizi la bomu lililosababisha vifo vya watu saba na wengine kadhaa kujeruhiwa. Mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa nchini Somalia Balozi Augustine Mahiga,  alilaani shambulizi hilo linalosemekana lilimlenga Afisa wa usalama, na kusema hilo litaongeza ari ya wasomali katika kusaka amani.

Wakati hayo yakiripotiwa utafiti wa kikosi cha Muungano wa Afrika nchini Somalia AMISOM, unaonyesha utulivu umeimarika nchini humo tangu mwaka 2011. Hali ikoje kwa sasa? Ungana na Joseph Msami katika taarifa hii.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Juni 2013
T N T K J M P
« mei    
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930