Simu za mkononi zatumika kuboresha sekta ya ufugaji nchini Kenya: FAO

Kusikiliza /

 

matumizi ya simu nchini Kenya

 

 

 

 

 

 

Wakulima na madaktari wa mifugo kote barani Afrika kwa sasa wanatumia kwa wingi simu za mkononi kutoa tahadahri kuhusu mikurupuko ya magonjwa mapema zaidi na pia wakati wa kampeni za utoaji wa chanjo za mifugo. Sualahilolimefanya mawasiliano kuwa ya haraka na huduma kutolewa kwa njia iliyo rahisi na ya haraka. Taarifa zaidi na Alice Kariuki.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031