Nyumbani » 12/03/2013
Entries posted on “Machi 12th, 2013”
Kusikiliza /

Kongo DRC ni nchi ya pili kwa ukubwa barani Afrika yenye rasilimali nyingi, ikiwemo madini na uoto wa asili. Nchi hii yenye idadi ya zaidi ya watu milioni sabini ina historia ndefu ya mapigano yaliyosababisha maafa kadhaa ikiwamo vifo, ulemavu na hata wakimbizi wa ndani ya nchi na wale waliokimbilia nchi jirani kutafuta hifadhi. Mwishoni [...]
12/03/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepokea kwa masikitiko habari za vifo vya marubani wanne wa Urusi kufuatia ajali ya ndege ya kukodi ya mizigo ya Umoja wa Mataifa iliyoanguka kilometa 20 Mashariki mwa DRC Kongo katika mji wa Kivu Machi 9 mwaka huu. Kufuatia vifo hivyo, Bwana Ban ametuma salamu za rambirambi na pole [...]
12/03/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Siku chache baada ya ripoti kuwa Sudan na Sudan Kusini wametia saini makubaliano yenye lengo la kupatia suluhu la kudumu mgogoro wa mpaka kati yao, hii leo pande mbili hizo zimetiliana saini mbele ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mpango wa utekelezaji wa makubaliano tisa kati yao kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo mgogoro [...]
12/03/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Kikao cha Baraza la Haki za Binadamu kinachoendelea mjini Geneva, Uswisi kimeelezwa kuwa lugha takribani nusu ya lugha Elfu Sita za makabila madogo duniani ziko hatarini kutoweka mwishoni mwa karne hii kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo sera za kitaifa, muingiliano wa jamii na migogoro ya kivita. Mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa juu ya [...]
12/03/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Suala la haki miliki linaelezwa kuwa bado linaendelea kuzua utata na kukwamisha matumizi stahili ambayo yanaweza kusaidia nchi kujikwamua kiuchumi. Barani Afrika ripoti zinaonyesha kuwa mapato mengi hupotea kutokana na kukithiri kwa vitendo vya wizi wa haki miliki, kunafanyika kwenye maeneo mbalimbali. Ni kwa mantiki hiyo wataalamu wanakutana jijini Dar es Salaam katika mkutano ulioandaliwa [...]
12/03/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mtaalamu maamlum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ahmed Shaheed ametoa tahadhari kuhusu idadi ya tuhuma na taarifa anazoendelea kupokea kuhusu hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo akitaka hatua za haraka zichukuliwe. Joseph Msami na maelezo zaidi. (SAUTI YA JOSEPH)
12/03/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Haki Miliki, WIPO Francis Gurry leo wameongoza mkutano kuhusu hakimiliki jijini DSM ukishirikisha wataalamu na viongozi wa serikali na sekta binafsi kutoka zaidi ya nchi 20 barani Afrika kwa ajili ya kujadilia njia bora za kukabiliana na wizi wa haki [...]
12/03/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Kuhudumia Watoto katika Umoja wa Mataifa, UNICEF, limeonya kuwa kizazi kizima cha watoto wa Syria kipo mashakani, wakati mzozo wa Syria ukiingia mwaka wa tatu. Katika ripoti yake ilotolewa leo ambayo ni tarehe ya kutimu miaka miwili tangu mzozo wa Syria kuanza, UNICEF imesema kuwa kukithiri kwa machafuko, uharibifu mkubwa wa miundo mbinu [...]
12/03/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Idadi ya raia wa Syria walio wakimbizi nchini Uturuki kwa sasa imefikia zaidi ya Laki Mbili na Nusu baada ya serikali kuanza kuwaandikisha pamoja na wale walio nje ya kambi 17 zinazosimamiwa na serikali. Taarifa hiyo zinajiri huku mkuu wa Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR Antonio Guterres akiwa ziarani nchi jirani [...]
12/03/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Naibu Kamishna Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa Kyung-wha Kang ametoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Mali na kueleza kuwa hali ni ya kutisha ambapo waasi wa kikundi cha MNLA walifanya mauaji ya raia kwa minajili ya tafsiri ya sheria ya kiislamu, Sharia. Ripoti [...]
12/03/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Dunia ikiwa imeadhimisha siku ya wanawake Machi Nane ambapo tumeshuhudia maadhimisho hayo yakifanyika kwa matukio mbalimbali ikiwemo matembezi na kadhalika, nchini Sudan Kusini,Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS, umetumia maadhimisho ya siku ya wanawake kwa kufundisha Kiingereza wanawake zaidi ya 50. Mafunzo hayo yanafanyika katika hema lililoko katika karakana iliyoko katika kituo cha [...]
12/03/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »