IOM yaanza kutoa huduma za maji na usafi katika kambi ya Doro Sudan Kusini

Kusikiliza /

 

IOM yasaidia wakimbizi wa kambi ya Doro

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeanzisha shughuli za kuimarisha hali ya maji na usafi katika kambi ya Doro iliopo Jimbo ya Upper Nile Sudan Kusini ili kukabiliana na mlipuko wa ujonjwa wa ini wa aina ya Hepatitis E. Wizara ya afya ilitanzaga kuzuka kwa ugonjwa huu katika kambi tatu Sudan Kusini mnamo mwezi September 2012. Msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe amezungumza na idhaa hii kuhusu suala hili.

(SAUTI YA JUMBE OMARI JUMBE)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031