Kusikiliza /

MADAGASCAR! Kisiwa ndani ya bahari ya HINDI kilichoko Kusini Mashariki mwa Afrika chenye idadi ya watu zaidi ya milioni 22. Kisiwa hiki kimekuwa kikikumbwa na vimbunga mara kadhaa! Vimbunga hivi vimekuwa vikiathiri sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Leo katika makala tunamulika namna ambavyo vimbunga hivi vimeathiri sekta ya kilimo chini Madgascar na mchango wa [...]
27/02/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa linalowasaidia Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limelaaani shambulizi lililofanywa nchini Syria likiwalenga watoto wa Kipalestina ambao ni wanafunzi katika shule mbalimabli. Kwa mujibu wa Shirika hilo mashambulizi hayo mfululizo yaliyowalenga wakimbizi wa Kpalestina waishio Syria yamesababisha vifo vya watu wanne akiwamo mototo mwenye umri wa miaka 14 aliyepata jeraha kichwani huku [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Zaidi ya watu milioni 360 duniani wanakabiliwa na tatizo la kupoteza uwezo wa kusikia kwa mujibu wa makadirio yaliyotolewa na Shirika la afya duniani WHO kabla ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kulea sikio ambayo itadhimishwa tarehe tatu mwezi ujao wa Machi. Huku watu wakiendelea kupatwa na uzee duniani visa vya wao kukabiliwa na [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Naye Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Vuk Jeremic, amesema ufanisi wa mazungumzo kuhusu ustaarabu utatokana na jinsi masuala mawili sugu Mashariki ya Kati yanatatuliwa, ambayo ni janga la umwagaji damu Syria na hatma ya watu wa Palestina. Akiongea kwenye kongamano hilo la nchi zinazoendeleza ustaarabu, Bwana Jeremic amesema, inasikitisha kuwa kwa takriban [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema viongozi kote duniani, wawe wa kimataifa au kimataifa, wanafaa kuongea lugha ya kustahmiliana na heshima, na kujitenga na migawanyo na kuharibiana sifa. Akiongea kwenye kongamano la muungano wa nchi zinazoendeleza ustaarabu linalofanyika mjini Vienna, Austria, Bwana Ban amesema masuluhu ya kudumu kwa migawanyiko yanaweza tu kutokana [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Wakati malengo ya Millenia yakikaribia kufikia kikomo chake mwaka 2015,zaidi ya watu bilioni moja na nusu wanaishi katika mizozo mbalimbali nchini mwao. Akifungua konagamano katika mji mkuu wa Timor kuhusu maendeleo ya kimataifa Kwa mujibuwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa aliye pia Katibu wa Tume ya maswala ya Uchumi na Kijamii kwenye [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki, Malengo ya maendeleo ya milenia | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Kimataifa linalohusika na uhamiaji IOM, limehitimisha mkutano wake wa siku tatu nchini Tanzania uliowajumuisha maofisa wa uhamiaji kutoka baadhi ya nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC, na kuanisha vipaumbele vinavyopaswa kuzingatiwa ili kukabiliana na wimbi la wahamiaji haramu. George Njogopa na taarifa zaidi. Maafisa hao uhamiaji wamejadilia haja ya [...]
27/02/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mratibu wa progamu ya ajira ya shirika la kazi duniani ILO Peter Poschen ameonya juu ya uwezekano wan chi zilizoendelea kukubwa na tatizo la tabia nchi kama zitaendelea kupuuza kuchukua hatua kuunga mkono kampeni ya inayohimiza uchumi unaojali mazingira. Mtaalamu huyo amesema iwapo dunia itazingatia na kuweka sera sahihi na kuzitekeleza kwa vitendo, kunaweza kushuhudia [...]
27/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »