Ban asifu makubaliano ya utaratibu wa kutafuta amani na usalama DRC
Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesifu hatua ya nchi kumi na moja za eneo la Maziwa Makuu kutia saini makubaliano ya utaratibu wa amani, usalama na ushirikiano kwa ajili ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na eneo zima. Akizungumza mjini Addis Ababa, Ethiopia, ambako makubaliano hayo yamesainiwa, Bwana Ban amesema anatumai kuwa [...]