Nyumbani » 12/02/2013
Entries posted on “Febuari 12th, 2013”
Kusikiliza /

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limewapelekea chakula , maji na madawa kundi la wahamiaji 32 waliawasili kwenye ofisi za IOM kwenye mji wa Faya Largeau kaskazini mwa Chad juma lililopia baada ya kutimuliwa kutoka nchini Libya. Makundi matatatu ya raia wa Chad wametimuliwa kutoka Libya mwezi Julai mwaka uliopita. Kutimuliwa kwa wahamiaji kunajiri baada [...]
12/02/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekumbushwa jukumu lake la kupaza sauti moja ili kulinda maisha ya raia wasio na hatia wanaojikuta katikati ya mizozo sehemu mbali mbali duniani. Hayo yameibuka wakati wa mjadala wa wazi kuhusu usalama wa raia kwenye maeneo ya migogoro ambapo Kamishna Mkuu wa tume ya haki za binadamu ya [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeshutumu vikali kitendo cha Jamhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Korea DPRK kufanya jaribio la nyuklia siku ya Jumanne. Kauli ya baraza hilo imetolewa muda mfupi baada ya mashauriano ya dharura yaliyofanywa na wajumbe, kufuatia taarifa hizo za jaribio ambapo, taarifa ilisomwa mbele ya waandishi wa habari na [...]
12/02/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Jumatano ya tarehe 13 mwezi huu wa February, mamilioni ya watu duniani kote wanasherehekea siku ya Radio duniani. Tukio hili linalenga kuonyesha nguvu ya radio na umuhimu wa matangazo yake yanayofikia mamilioni ya watu kwa nia ya kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha. Maadhimisho haya yanarejelea mwaka 1946 ambapo Umoja wa Mataifa uliamua kuanzisha radio yake yenyewe. [...]
12/02/2013 | Jamii: Siku ya Radio Duniani | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Ertharin Cousin, ameanza ziara ya siku mbili nchini Tanzania hii leo. Akiwa mjini Dar es Salaam, Bi Cousin anatarajiwa kuzuru eneo la bandari kunakofanyika operesheni za WFP, ili kukagua eneo hilo ambalo ni muhimu kwa kazi ya WFP barani Afrika. Bi Cousin pia anatarajiwa kukutana [...]
12/02/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Serikali ya Uingereza imeripoti kuthibitisha kisa cha maambukizi ya homa ya Novel Coronavirus, kufuatia mkazi wake mmoja kuonyesha dalili za maambukizi ya virusi hivyo kuanzia Janauri 26 mwaka huu. Vipimo vya maabara vimebainisha mgonjwa huyo akiwa na homa ya H1N1 pamoja na Novel Coronavirus, na hivi sasa amewekwa katika kituo cha kutibu wagonjwa maututi. Uchunguzi [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amelaani hatua ya Korea Kaskani ya kufanya majaribio ya zana za kinyumlia hii leo .Ban amesema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji mkubwa wa mkataba wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa. Ban mara kwa mara amekuwa akitoa wito kwa utawala mpya wa taifa la Korea [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limewapelekea chakula , maji na madawa kundi la wahamiaji 32 waliawasili kwenye ofisi za IOM kwenye mji wa Faya Largeau kaskazini mwa Chad juma lililopia baada ya kutimuliwa kutoka nchini Libya. Makundi matatu ya raia wa Chad wametimuliwa kutoka Libya mwezi Julai mwaka uliopita. Kutimuliwa kwa wahamiaji kunajiri baada [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Kimataifa la za nguvu za atomiki(IAEA) limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania katika kukabiliana na magonjwa ya kansa ambayo yanaripotiwa kukua kwa kasi katika nchi za dunia ya tatu. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa IAEA, Yukiya Amano ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara ya siku mbili akikagua shughuli [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Ujumbe wa pamoja wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR na lile la misaada la Mercy Corps uliokwenda huko Bambari na Kaga Bandoro Jamhuri ya Afrika ya Kati umebaini uporaji na kutelekezwa kwa vijiji kadhaa huku wananchi wakiwa wamejificha maporini wakielezea unyanyasaji waliofanyiwa na waasi hao. Imeelezwa kuwa hii ni mara ya [...]
12/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »