Nyumbani » 06/02/2013
Entries posted on “Febuari 6th, 2013”
Kusikiliza /

Kadri maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano yanavyozidi kuibuka, baadhi ya watu wamekuwa na hofu juu ya hatma ya huduma za posta, wakidhani kuwa matumizi ya barua pepe, simu za mkononi na hata utumaji wa pesa kwa mtandao ni hati ya kifo kwa huduma za posta. Mkurugenzi Mkuu wa muungano wa mashirika ya posta duniani, UPU, [...]
06/02/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) wiki ijayo litakuwa na mjadala kuhusu masuala ya habari wakati wa kikao cha kwanza cha Baraza la Uongozi la UNEP mjini Nairobi, Kenya. Zaidi ya mawaziri 200 wa mazingira, wajumbe wa ngazi za juu, wakiwemo wanasayansi, wachumi, watunga sera, mashirika ya kiraia na viongozi wa biashara wanatarajiwa [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Ingawa uchumi wa kimataifa umepata sura ya kujumuisha wote, takwimu mpya zilizoandaliwa na Tume ya Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya kiuchumi na kijamii kwa maeneo ya Asia na Pasifiki, (ESCAP) na Benki ya Dunia, zinaonyesha kuwa nchi zinazoendelea ndizo zinazobeba mzigo mkubwa zaidi wa gharama ya kufanya biashara. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa licha ya [...]
06/02/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mkurugenzi Mkuu mpya wa Muungano wa mashirika ya posta duniani, UPU Bishar Hussein amesema kadri teknolojia ya mawasiliano inavyoimarika ndivyo ilivyo kwa huduma za posta na hivyo changamoto ni kwa mashirika ya posta duniani kuwa na ubunifu zaidi ili yaweze kwenda na wakati. Bwana Hussein ameiambia Radio ya Umoja wa Mataifa katika mahojiano maalum kuwa [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Kamishina Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Navi Pillay amelaani mauaji ya Katibu Mkuu wa kikundi cha vuguvugu la wazalendo nchini Tunisia, DPM, Chakri Belaid. Pillay amesema amehuzunishwa na taarifa za kifo cha Belaid ambaye alikuwa mtetesi mkubwa wa haki za binadamu na akipinga vurugu za kisiasana kueleza kuwa kifo chake [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Idadi ya watu duniani, UNFPA, Dkt. Babatunde Osotimehin amesema licha ya mafanikio katika kupambana na ukeketaji wa wanawake na watoto wa kike, bado kuna changamoto kubwa kutokomeza kabisa tabia hiyo. Akizungumza katika mahojiano maalum na Radio ya Umoja wa Mataifa, Dkt. Babatunde ametaja changamoto hiyo kuwa ni ajira mbadala kwa [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo, siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji wa wanawake na watoto wa kike, imesema kuwa hatari ya watoto wa kike kukeketwa imepungua ikilinganishwa na ilivyokuwa zamani. Ripoti hiyo ya mashirika ya Umoja wa mataifa ya UNICEF linalohusika na watoto na UNFPA la idadi watu, imesema katika nchi 29 [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Baada ya kuimarika kwa usalama baada ya wanamgambo wa Al-Shabab kuikimbia miji ya kusini na kati kati mwa Somalia mashirika ya kutoa misaada sasa yameongeza huduma za kiafya na huduma zingine za dharura katika maeneo ambayo awali ilikuwa vigumu kuyafikia. Mratibu wa masuala ya dharura kwenye shirika la afya duniani WHO nchini Somalia Omar Saleh [...]
06/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amekuwa na mazungumzo na Rais wa Benki ya dunia Jim Yong Kim ambapo wameangalia upya fursa za kuimarisha ushirikiano kati ya pande mbili hizo hususan kwenye maeneo ya nchi za Maziwa Makuu barani Afrika. Taarifa iliyotolewa na ofisi ya msemaji wa Umoja wa Mataifa imeeleza kuwa Bwana [...]
06/02/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Wakati leo ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la idadi ya watu duniani, UNFPA, Dkt. Babatunde Osotimehin amesema siri ya mafanikio ya vita dhidi ya ukeketaji wanawake na watoto wa kike ni ushirikishaji wa dhati wa jamii husika. Dkt. Osotimehin ameiambia Radio ya Umoja wa Mataifa katika mahojiano maalum kuwa [...]
06/02/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »