Kusikiliza /

Umoja wa Mataifa, kimbilio la ulimwengu wakati wa matatizo magumu duniani kote: Kuanzia kumaliza migogoro, kuondoa umaskini, kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, na utetezi wa haki za binadamu. Masuala ndani ya ajenda za Umoja wa Mataifa ni mengi na tofauti kama vile ilivyo kwa fursa za ajira zinazotolewa na umoja huo. Miongoni mwa wafanyakazi [...]
04/02/2013 | Jamii: Jiunge na Umoja wa Mataifa | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mwakilishi maalum wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq amelaani vikali shambulizi la kupangwa lililolenga makao makuu ya jeshi la polisi, katika mji wa Kirkuk ulioko kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu kadhaa na wengine kujeruhiwa. Martin Kobler ambaye pia anaongoza ofisi ya ujumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Wawakilishi wa serikali kutoka mataifa 19 ya Asia wameanza mikutano mjini Bangkok hii leo inayoandalaiwa na maafisa wa mazingira kutoka nchini Bangladesh na Japan kutafuta mbuni za kupunguza athari za muda mfupi za uchafuzi wa mazingira katika eneo la Asia. Vichafuzi vya mazingira vikiwemo carbon na Methane vinachangia katika kupanda kwa joto duniani hivi sasa [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema zaidi ya asilimia sabini ya visa vya ugonjwa wa saratani vinaweza kuzuiliwa. Kwenye ujumbe wake wa siku ya saratani duniani ambayo ni leo tarehe nne Februari, WHO imesema hili linawezekana ikiwa nchi zitaongeza uwezo wao wa kudhibiti saratani. Shirika hilo limesema na kwamba nusu ya nchi kote duniani hazina [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO Irina Bokova yuko nchiniTanzaniakwa ziara rasmi ya siku tatu ambapo atakuwa na mazungumzo na viongozi mbali mbali. Taarifa kutoka tovuti ya UNESCO inasema viongozi hao ni pamoja na mawaziri wa Mawasiliano, Sayanasi na Teknolojia, Elimu na Mafunzo ya Ufundi, pamoja na [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Baadhi ya wanariadha mashuhuri wa Kenya wa marathoni na wale wanaoibukia watashiriki katika mbio maalum zilizoandaliwa na Shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa, UNEP mjini Nairobi kwa lengo la kuinua zaidi hadhi ya mji huo kama mji mkuu wa uhifadhi wa mazingira wa dunia. UNEP inasema mbio hizo za kilometa 21 zitakazofanyika tarehe 24 [...]
04/02/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limeanza operesheni ya aina yake ya kuhakikisha wasyria walioko katika mzozo wanapata majisafina salama kwa kusambaza dawa za kutakasa maji. Matenki yaliyojazwa maji ambayo yamewekewa dawa maalumu za kutakasa maji yamesafirishwa kupitia mpaka waJordanhadi katika miji yaHoms,Aleppo,Hamana Idlepo ambako kiasi cha watu zaidi ya milioni [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF pamoja na washirika wake wamewezesha watoto huko Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia yaCongo, DRC ambao walikumbwa na athari za kisaikolojia kutokana na mapigano kati ya majeshi ya serikali na waasi, kuweza kuelezea fikra na madhila yaliyowakumba kupitia sanaa na uchoraji. UNICEF imetenga eneo maalum la watoto [...]
04/02/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »