Jitihada za Burundi kutokomeza umaskini zatiwa shime

Kusikiliza /

kutokomeza umaskini nchini Burundi

Jitihada za Burundi kutokomeza umaskini zatiwa shime

 

Umoja wa Mataifa umeipatia Burundi dola Milioni 600 kwa ajili kusaidia mpango wa nchi hiyo kupambana na umasikini baada ya taifa hilo kukumbwa na vita vya zaidi ya muongo mzima.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitasaidia kuimarisha maandalizi ya uchaguzi mkuu na utawala bora nchini humo.Ramadhani Kibuga na taarifa kamili.

(SAUTI YA RAMADHAN KIBUGA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031