Hali nchini Libya bado si nzuri: Mitri

Kusikiliza /

Tarek Mitri

Mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya Tarek Mitri amelihutubia Baraza la Usalama hii leo mjini New York, Marekani na kueleza kuwa hali ya usalama nchini Libya bado ni mbaya na jitihada za kuimarisha usalama zinaendelea.

Bwana Mitri amesema licha ya kuwepo kwa maendeleo thabiti katika baadhi ya sekta ikiwemo kurejesha ujirani mwema na maheshimiano na nchi jirani na jumuiya ya kimataifa bado hali ya usalama si shwari.

(SAUTI YA MITRI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031