Bokova alaani mauaji ya waandishi wa habari nchini Syria

Kusikiliza /

Irina Bokova

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa, UNESCO, Irina Bokova ameelezea wasi wasi wake kufuatia kuendelea kuuawa kwa waandishi wa habari nchini Syria , baada ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha runinga Suhail Mahmoud Al-Ali Ijumaa iliyopita. Taarifa zaidi na Jason Nyakundi.

(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031