Bokova alaani mauaji ya waandishi wa habari nchini Syria
Kusikiliza /Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa, UNESCO, Irina Bokova ameelezea wasi wasi wake kufuatia kuendelea kuuawa kwa waandishi wa habari nchini Syria , baada ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha runinga Suhail Mahmoud Al-Ali Ijumaa iliyopita. Taarifa zaidi na Jason Nyakundi.
(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)
