Ban asisitiza haja ya bara la Afrika kuwajibika kwa siku zake zijazo
Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema bara la Afrika lina uzoefu wa kulitosheleza kupata suluhu kwa changamoto zake, pamoja na kuchangia malengo ya kimataifa ya ukuaji unaowahusisha wote, haki ya kijamii na kulinda mazingira. Bwana Ban amesema hayo katika hotuba yake kwa viongozi wa Afrika, wakati wa mkutano wa kila mwaka wa [...]