Unyanyasaji wa kijinsia bado ni tatizo kubwa Jamhuri ya Afrika ya Kati: Bangura

Kusikiliza /

Hawa Zainab

Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu unyanyasaji wa kingono kwenye migogoro, Hawa Bangura amehitimisha wiki moja ya ziara yake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati na kueleza kuwa unyanyasaji wa kingono bado ni tatizo dhahiri nchini humo hasa maeneo yanayodhibitiwa na vikundi vya kisiasa au kijeshi.

Amesema kwa muda wote aliokuwepo nchini humo pamoja na fursa ya kutembelea maeneo mbali mbali amebaini kuwa matukio ya unyanyasaji wa kingono uko bayana ambapo wanawake na watoto wanakamatwa na kunyanyaswa kijinsia na vikundi hivyo.

(SAUTI YA HAWA BANGURA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031