UNHCR yaomba Kenya iendelee kulinda haki za wakimbizi

Kusikiliza /

Makambi ya wakimbizi Dadaab Kenya

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeelezea wasiwasi wake kutokana na matukio ya hivi karibuni nchini Kenya ya kuuawa kwa raia pamoja na wakimbizi.

UNHCR imesema inalaani mashambulizi hayo na kutoa rambirambi kwa waathirika wote, watu na serikali ya Kenya huku ikiomba serikali hiyo kuendelea kulinda haki za wakimbizi.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031