Ban asikitishwa na mwendelezo wa ghasia nchini Syria

Kusikiliza /

Katibu Mkuu Ban Ki-moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon amesema anasikitishwa na mwendelezo wa ghasia nchini Syria katika siku za karibuni na hatari kubwa inayokabili raia kwenye maeneo ambako kuna mapigano.

Bwana Ban amekaririwa na msemaji wake akieleza masikitiko hayo huku akishutumu mashambulizi ya silaha kwenye maeneo ya raia ambapo amerejelea kauli yake ya kutaka pande zote katika mzozo nchini Syria kuacha mapigano. Jason Nyakundi na taarifa zaidi.

(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031