Baada ya kimbunga Bopha Ufilipino, maisha ya watoto yako hatarini

Kusikiliza /

mtoto nchini Ufilipino

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linasema kuwa watoto waliobakia bila makazi katika maeneo yaliyokumbwa na kimbunga huko Ufilipino wako hatarini kunyanyaswa na kutumikishwa.

UNICEF inasema licha ya kwamba kazi nzuri imefanyika kukabiliana na madhara ya kimbunga, lakini mahitaji muhimu ya watoto hayatiliwi maanani na hivyo kuwaweka hatarini zaidi kudhalilika ikiwemo kusafirishwa kinyume cha sheria. Marixie Mercado ni msemaji wa UNICEF.

(SAUTI YA MARIXIE MERCADO)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031