Kusikiliza /

Kambi ya Dadaab iliyoko Kaskazini Mashariki mwa Kenya inahifadhi wakimbizi kutoka Somalia. Kambi hii inaelezwa kuwa ni kubwa kuliko kambi zote za wakimbizi duniani ikiwa inahifadhi wakimbizi zaidi ya Laki Nne na Nusu. Uhaba wa maji umekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo. Lakini nuru imechomoza na kubadili maisha ya familia za kifugaji. Ni nuru gani hiyo? [...]
30/12/2012 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Hatimaye mwaka 2012 umefikia ukingoni. Kwa Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu, Ban Ki Moon alieleza kuwa ulikuwa wa mtikisiko, kuanzia mabadiliko ya tabia nchi, mapigano nchini Syria na mzozo Mashariki ya Kati, mgogoro Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, mapigano huko Mali, majanga ya asili ikiwemo vimbunga, mafuriko, njaa yote alisema yaliuweka Umoja wa Mataifa [...]
30/12/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »