Rushwa ni kikwazo kwa malengo ya milenia, kila mtu aikatae na aifichue: Ban
Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon, amesema kadri ambavyo nchi zinajizatiti kufikia malengo ya maendeleo ya milenia suala la kupambana na rushwa linakuwa ni la muhimu kuliko wakati wowote. Amesema hayo katika ujumbe wake wa siku ya kupambana na rushwa hii leo tarehe Tisa Disemba na kusema kuwa gharama ya rushwa inathibitishwa siyo [...]