Wataalamu wa haki za binadamu wakutana mjini Yamoussoukro

Kusikiliza /

Christof Heyns

Watalaamu wa tajriba ya juu kutoka kwa baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa na tume ya Afrika ya kibinadamu na haki za watu wameahidi kuungana katika kupigania haki za binadamu barani Afrika. Akihutubia mkutano wa wawakilishi wa mataifa ya Afrika , mashirika ya umma waliokusanyika mjini Yamoussoukro nchini Ivory Cost mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji yanayofanywa kinyume na sheria, Christof Heyns amesema kuwa umoja ni muhimu kwenye jitihada za kupigania haki za binadamu. Jason Nyakundi na Taarifa Kamili.

(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Juni 2013
T N T K J M P
« mei    
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930