Wananchi wa Burundi washukuru UM kwa kujenga amani nchini mwao

Kusikiliza /

bendera za nchi wanachama wa UM

Maadhimisho ya siku ya Umoja wa Mataifa yamefanyika sehemu mbali mbali duniani ikifahamika kuwa Umoja huo ulioanzishwa mwaka 1945 una wanachama 193 na miongoni mwa wanachama hao ni Burundi ambako sherehe zimefanyika kwenye mji mkuu Bujumbura na wananchi kutoa maoni yao juu ya nafasi ya Umoja huo katika kujenga amani.

Mwandishi wetu Ramadhani Kabuga kutoka Maziwa Makuu alikuwa na haya:

(SAUTI YA RAMADHANI KABUGA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031