Mifumo endelevu yahitajika kutokomeza njaa: Ban

Kusikiliza /

Katibu Mkuu Ban Ki-moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon ametoa ujumbe wake kwa siku ya chakula duniani na kusema kuwa mwelekeo wa pamoja unaochochea vyama vya kilimo vya ushirika ni muhimu katika kufikia lengo la kutokomeza njaa alilozindua wakati wa mkutano wa Rio + 20 nchini Brazil.

Ban amesema kutokomeza njaa ni dira ya kuwa na dunia ambamo mifumo ya chakula ni endelevu na kila mtu anapata haki yake ya chakula na kwamba utaalamu wa hali juu katika vyama hivyo utakuwa muhimu katika kufikia lengo kuu kuongeza maradufu kipato na uzalishaji wa tija kwa wakulima wadogo.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031