Mashambulizi ya walowezi wa Israeli dhidi ya wapalestina hayakubaliki: UM

Kusikiliza /

Robert Serry

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika mpango wa amani wa Mashariki ya Kati, Robert Serry ameeleza kushtushwa kwake na ripoti kuwa walowezi wa kiisraeli wamekuwa wakishambulia mara kwa mara wakulima wa kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan na kuharibu miti ya mizeituni wakati huu wa msimu wa mavuno.

Serry amesema kitendo hicho hakifai na ameitaka serikali ya Israel kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wote huku ikizingatia ahadi yake ya kulinda wapalestina pamoja na mali zao. Assumpta Massoi na taarifa zaidi.

(SAUTI YA ASSUMPTA MASSOI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031