Hatua zichukuliwe kupunguza vurugu kwenye chaguzi Afrika: UNECA

Kusikiliza /

Carlos Lopes

Katibu Mtendaji wa Tume ya Umoja wa Mataifa ya uchumi kwa Afrika, UNECA, Carlos Lopes amesema kardi uchumi wa Afrika unavyoimarika, vurugu zitokanazo na chaguzi za kisiasa zitapungua kutokana na kuongezeka kwa uelewa wa raia wake na kutarajia kushiriki zaidi kwenye masuala ya siasa.

Amesema japo chaguzi zimekuwa jambo la kawaida lakini bado uhalali na ubora wake unahojiwa na kupoteza thamani yake na kwamba tofauti kubwa za maendeleo ya kiuchumi katika jamii na ukosefu wa utulivu wa kisiasa vinaweza kusababisha ghasia za kisiasa.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Juni 2013
T N T K J M P
« mei    
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930