Kumaliza umaskini ni jambo linalostahili kushughulikiwa duniani kote:Sepulvena

Kusikiliza /

Magdalena Sepulveda

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu umaskini uliopindukia Magdalena Sepulvena ameyataka mataifa kutumia mipango ya muda mrefu kuhusu umaskini na haki za binadamu uliopitishwa na baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa.

Sepulvena amesema kuwa mipango hiyo inapitishia baada ya hatua ya mataifa ya kutambua kuwa uamaski ni suala la kibinadamu linalohitaji mikakati kabambe kwenye viwango vya kitaifa na kimataifa. George njogopa na taarifa kamili.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031