Nyumbani » 17/08/2012
Entries posted on “Agosti 17th, 2012”
Kusikiliza /

Ripoti moja iliyotolewa na taasisi ya kimataifa inayohusika na maendeleo endelevu imesema kuwa Hispania inahitaji kuchukua mkondo sahihi wa kutekeleza mipango inayojali uchumi unaozingatia mazingira hasa katika kipindi hiki ambacho taifa hilo linapitia wakati mgumu wa ongezeko la ukosefu wa ajira. Ripoti hiyo ambayo ni sehemu pia ya vidokezo vya shirika la kazi duniani ILO [...]
17/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa linalojishughulisha na uhamiaji IOM limezindua chapisho lake linaloangaazia mpango unaojulikana MERCOSUR ambayo inalenga kuimarisha ustawi wa watu jamii ya wahamiaji. Katika chapisho hilo IOM imeeleza pia hatua zilizochukuliw a na serikali ya Argentina ambayo imeuhalalisha mpango huo na kuwafaidia jamii ya wahamiaji milioni kadhaa wanaoshi nchini humo. Katika kipindi cha [...]
17/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Wakati ujumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa ukitaraji kusitisha shughuli zake nchini Syria, Baraza la Usalama lilikutana kujadilia hali ya mambo nchini humo limekubali kuanzisha ofisi itayohusika na usaidizi wa kisiasa ambayo pia itamulika masuala ya haki za binadamu. Umoja wa Mataifa umesema utaondoa ujumbe wake ifikapo jumapili usiku katika wakati hali ya mapigano bado [...]
17/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linachunguza mapendekezo yaliyotolewa na taifa la Australa wiki hii kutoka kwa kundi moja la wataalamu na uamuzi ulitolewa na bunge ambapo watafuta hifadhi wataandikishwa kwenye kambi zilizo kwenye bahari ya Pacific. Hata hivyo matakwa ya UNHCR yamesalia kuwa mipango itakayoruhusu watafuta hifadhi wanaowasili kwa mashua nchini [...]
17/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mashirika ya kutoa huduma za kibinadamu yanalenga kuwahudumia watu milioni sita mwaka huu wa 2012 ikiwa ni ongezeko la asilimia 62 ikilinganishwa na miezi sita iliyopita. Kulingana na makadirio fedha zinazozohitajika kwa sasa ni jumla ya dola milioni 584. Katika eneo la Abya lililo kusini mwa nchi, shirika la kuratibu masusla ya kibinadamu OCHA limezindua [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limeazisha usambazaji wa misaada isiyokuwa chakula kupitia kwa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kwa watu waliohama makoa ambao kwa sasa wamepiga kambi kwenye shule nne mjini Damascus. Juma hili IOM ilisambaza vifaa 581 kwa usafi kwenye shule ya Fariz Daboos kwenye shule ya Somaya Al Makhzomiya pamoja na kwenye shule [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNICEF linasema limepokea ripoti kuwa makundi yaliyojihami kaskazini mwa Mali yanaendelea kuwatumia watoto kwenye mapigano. Kuajiriwa na kutumiwa kwa watoto walio chini ya miaka 18 na makundi yaliyojihami ni kinyume na sheria ya kimataifa na nikitu kinachotajwa kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu iwapo [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Afya Duniani, WHO, limesema wizara ya Afya nchini Syria inakadiria kuwa hospitali 38 na vituo vingine 149 vya afya vimeharibiwa kwa kiasi kikubwa, au hata kabisa, na hivyo kufanya utoaji wa huduma za afya kuwa mgumu. Mkurugenzi wa Kudhibiti Matukio ya Dharura na Hatari katika, WHO, Richards Brennman, amesema shirika hilo linahusika kwa [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya raia wa Syria wanaokimbilia Uturuki, limesema Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR. Kati ya Jumanne na Jumatano, watu 3,500 walivuka mpaka na kuingia katika mikoa ya Kilis na Hatay, kwa mujibu wa maafisa wa serikali mikoani. Watu 1700 waloingia kwenye mkoa wa Kilis walitoka [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Kila Agosti 19 ni Siku ya Watoaji wa Huduma za Kibinadamu, na leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, imefanyika hafla ya kuweka ua la heshima kwa kumbukumbu ya wahudumu wa Umoja wa Mataifa ambao waliuawa mjini Baghdad, pamoja na watoaji huduma za kibinadamu wote ambao wameuawa wakijaribu kwa ajili ya [...]
17/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Huku siku ya kimataifa ya utoaji wa huduma za kibinadamu ikisherehekewa tarehe 19 mwezi huu Umoja wa Mataifa umechukua hatua ya kutaka kufahamu maisha ya mtoaji huduma ni ya aina gani. Kunapotokea majanga kama vile mafuriko, mitetemeko ya ardhi au mikurupuko ya magonjwa watoa huduma za kibinadamu huonyesha ukakamavu mkubwa wanapoingia sehemu zilizoathirika na kuwahudumia [...]
17/08/2012 | Jamii: Makala za wiki | Kusoma Zaidi »