Nyumbani » 08/08/2012 Entries posted on “Agosti 8th, 2012”

Vyombo vinatoa mchango ya Kulinda Haki za Jamii za Kiasili

Kusikiliza / James Anaya

Mjumbe maaalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za jamii za kiasili James Anaya ameutaja mchango unaoweza kutolewa na vyombo vya habari katika kulinda haki za watu wa kiasili. Anaya amesema kuwa haki ya jamii za kiasili kuwa na vyombo vyao vya habari kwa lugha zao ni kutekelezwa kwa makubaliano ya haki za watu hao. [...]

08/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »

Palestina yapendekeza kuboreshwe mashirikiano ya kitaalumu baina yake ya UNCTAD

Kusikiliza / nemba ya UNCTAD

Mawaziri wa Kipalestina pamoja na maafisa wenginewa ngazi za juu wamesifu na kupongeza juhudi zinaazoendelea kuchukuliwa na shirika la Umoja wa Mataifa UNCTAD linalochukua shabaha ya kusukuma mbele shughuli za kimaendeleo hasa katika eneo ka ukusaji uchumi. Hivi karibuni ujumbe wa UNCTAD ilifanya ziara ya siku tano nchini humo ukilenga kuimarisha mashirikiano ya kiutendaji lakini [...]

08/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »

Mzozo wa Afghanistan wazidi kuwaathiri vibaya raia licha ya kupungua idadi ya mahasiri 2012:UM

Kusikiliza / watoto nchini Afghanistan

Katika miezi sita ya kwanza mwaka 2012, ghasia zinazotokana na migogoro nchini Afghanistan ziliendelea kuyagharimu maisha ya raia, imesema ripoti ya kipindi cha kwanza cha mwaka, ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Afghanistan, UNAMA, inayohusu kuwalinda raia katika migogoro ya silaha. Kati ya tarehe 1 Januari na Juni 30, 2012, idadi ya raia walioathirika ilizidi [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

Juhudi zahitajika katika kuzuia Unyanyasaji wa watoto Mashariki mwa Asia na Pacific:UNICEF

Kusikiliza / watoto wa Asia

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limetoa ripoti leo Jumatato inayosema unyanyasaji wa kimwili usiokubalika unasababisha madhara ya muda mrefu kwa maisha na hatima ya watoto wengi Mashariki mwa Asia na Pacific. Ripoti hii iitwayo "Unyanyasaji wa watoto: Ushamiri, Matukio na Athari katika Mashariki mwa Asia na Pacific" ni ya kwanza ya [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

Lishe ni lazima ziwe endelevu:FAO na Bioannuai

Kusikiliza / FAO

Hatua zinahitajika kuchukuliwa mara moja ili kuwa na lishe endelevu na mazingira ya uzalishaji chakula, ili kuboresha afya ya wanadamu na ulimwengu wanamoishi, limesema Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa, FAO na shirika la Biodiversity International katika kitabu kipya. Licha ya ufanisi mwingi uliofikiwa katika sekta ya kilimo katika miongo mitatu iliyopita, [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

UNHCR yaongeza kasi ya kuwasaidia wakimbizi wa DRC kurejea nyumbani kutoka nchi jirani ya Congo

Kusikiliza / wakimbizi wa Congo

Zaidi ya wakimbizi 11,000 wa Kongo wamerejea nyumbani kwao mwaka huu, kupitia mpango wa kurejeshwa kwa hiari wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR. Operesheni hiyo iliyoanza tarehe 5 Mei, inatarajiwa kukamilishwa mwishoni mwa mwaka huu. Inatarajiwa kuwawezesha raia wa Kongo 49, 000 waliotoroka mapigano ya kikabila katika jimbo la Equateur katika [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

Mzozo wa Mali ni wenye Kukanganya na Maumbo tofauti:Ban

Kusikiliza / kijana nchini Mali

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, amesema kuwa mzozo uliopo nchini Mali ni wenye kukanganya kimawazo na una maumbo tofauti. Katika hotuba yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Bwana Ban amesema kuwa tangu ulipoanza mzozo wa Mali, hali imekuwa ikibadilika na kufikia viwango vya kutisha kila uchao, kila wiki. Amesema [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa ataka Waandishi kupewa Usalama nchini Honduras

Kusikiliza / waandishi habari

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki ya kutoa maoni na kujieleza Frank La Rue ameanza ziara rasmi nchini Honduras ziara ambayo itakamilika tarehe 14 mwezi huu kwa mwaliko wa serikali. Mjumbe huyo atajaribu kubaini jinsi taifa la Honduras limejiandaa kutekeleza haki ya kujieleza na hatua zilizochukuliwa kuifanikisha na pia changamoto inazokumbana nazo. Wakati [...]

08/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »

Hata baada ya kuwepo changamoto huduma za kibinadamu zinaendelea nchini Sudan

Kusikiliza / wakimbizi wa Sudan

Kurejea kwa utulivu kwenye sehemu nyingi za jimbo la Darfur nchini Sudan kumechangia watu kurejea makwao kuanzia mwezi Januari mwaka 2011. Watoa huduma za kibinadamu kwa sasa wanajitahidi kuhakikisha kuwepo kwa huduma muhimu kwenye maeneo wanakorejea watu hao. Tarehe tano mwezi Agosti serikali ya Sudan na kundi la SPLM-NORTH walisaini makubaliano na Muungano wa Afrika [...]

08/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »

Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kutokomeza Ubaguzi wa Rangi yahitimisha Tathmini ya ripoti ya Ecuador

Kusikiliza / ubaguzi wa rangi

Kamati ya Umoja wa Mataifa inayohusika na utokomezaji wa ubaguzi wa rangi Jumatano imehitimisha tathimini ya ripoti ya Ecuador kuhusu utekelezaji wa mkataba wa kutokomeza mifumo yote ya ubaguzi wa rangi katika taifa hilo. Waziri wa utamaduni wa Ecuador Maria Fernanda Espinosa akiwasilisha ripoti hiyo kwenye baraza la haki za binadamu amesema ni kwa njia [...]

08/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »

Benomar akaribisha hatua ya Kufanyia Ukarabati Sekta ya Ulinzi Yemen

Kusikiliza / Jamal Benomar

Mshauri maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Yemen amekaribisha hatua iliyopitishwa na Rais wa Yemen Abed Rabbo Mansour Hadi tarehe 6 Agosti mwaka huu inayohusu kuipanga upya sektan ya ulinzi ya nchi hiyo. Amesema kupitishwa kwa hatua jizi kunakuwa ni hatua muhimu ya utekelezaji wa maafikiano ya kipindi cha mpito ya November [...]

08/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031