Nyumbani » 07/08/2012
Entries posted on “Agosti 7th, 2012”

Shirika la Kimataifa ya Uhamiaji, IOM, likishirikiana na serikali ya Indonesia na hazina ya Umoja wa Mataifa UNFPA, limezindua kampeni ya kuongeza ufahamu kuhusu hatari za usafirishaji haramu wa binadamu miongoni mwa watoto 3, 000 kati ya miaka 12-18 magharibi mwa Java, nchini Indonesia. Mchakato huo ambao unafadhiliwa na idara ya kuzuia usafirishaji haramu wa [...]
07/08/2012 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Serikali ya mpito nchini Somalia imetia saini mkakati wa kuchukuwa hatua za kukomesha mauaji na ulemazaji wa watoto katika vita vya silaha. Mkakati huo ulotiwa saini pia na Umoja wa Mataifa, unalitwika jeshi la kitaifa la Somalia na makundi ya muungano yaliyoko chini ya usimamizi wake wajibu wa kukomesha mauaji na ulemazaji kama huo. Mkakati [...]
07/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon ameelezea kusikitishwa kwake na hali ya usalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, hasa kutokana na ghasia zinazochochewa na kundi la M23 na makundi mengine yenye silaha, yakiwemo ya kitaifa na ya kimataifa. Bwana Ban amesema haya katika ujumbe wake kwa kongamano la kimataifa kuhusu eneo [...]
07/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Ripoti za wataalamu wa hali ya hewa zinasema kuwa eneo la Artic linaendelea kushuhudia mabadiliko ya mara kwa mara na sasa kiwango cha hali joto kimepanda kwa zaidi ya mara mbili ikilinganishwa na maeneo mengine ya dunia. Katika ripoti mpya iliyozinduliwa ikiwalenga watu wa eneo hilo, inaonyesha kuwa pamoja na tukio hilo kuwa ni la [...]
07/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amelaani vikali shambulizi la kigaidi lilitekelezwa katika mpaka wa Sinai Peninsula na kuuwawa askari 16 wa Misri. Tukio hilo la mwishoni mwa juma pia limesababisha watu kadhaa kujeruhiwa . Katika taarifa yake kufuatia shambulizi hilo, Ban amesema kuwa ni matumaini yake kuona wale waliohusika na ugaidi huo [...]
07/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Serikali ya Uingereza imetenga kiasi cha paunti milioni 5 ili kulipiga jeki shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na uhamiaji IOM ambalo linaendesha shughuli za kuwapatia hifadhi pamoja na chakula kwa mamia wa raia wa Pakistani walioathiriwa na mafuriko msimu uliopita. Pamoja na mambo mengine kiasi hicho cha fedha kinatazamiwa kuwafaidia zaidi ya familia [...]
07/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la afya dunianin WHO linasema linahofia hali ya afya ya raia nchini Syria. Sekta ya afya ya nchi hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa madawaa na vifaa vya tiba. Syria imekuwa ikizalisha asilimia 90 ya tembe na madawa mengine lakini hivi sasa uzalishaji huo unatatizwa na masuala ya usalama, upungufu wa mali ghafi, vikwazo [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linatoa wito kwa serikali ya Bangladesh kuhakikisha kuwa misaada kutoka kwa mashirika yasiyokuwa ya seriali imeendea kutolewa kwa watu ambao hawajasajiliwa kutoka jimbo la Rakhine nchini Myanmar. Juma lililopita mashirika yasiyokuwa ya serikali yakiwemo la Medecins Sans Frontières, Action Contre La Faim and Muslim Aid UK [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la mpango wa Chakula (WFP) kuwa litaendelea kutoa msaada kwa raia wa Myanmar ambao wamelazimika kuhama makwao na wale walopoteza makazi na riziki zao hadi mwezi Septemba, au hata Disemba mwaka huu. Tangu mwanzoni mwa mzozo wa Rakhine mwezi Juni, shirika la WFP limewafikia watu waloathirika na zaidi ya tani 2,000 za chakula. Zaidi [...]
07/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Kamati ya Umoja wa Mataifa inayohusu kukomesha matumizi ya silaha za nyuklia, inaendelea na mazungumzo kuhusu njia mwafaka za kuhakikishia mataifa yasiyo na silaha za nyuklia kuhusu matumizi au tishio la kushambuliwa na silaha kama hizo. Mwakilishi wa Japan kwenye kamati hiyo ameelezea hamu ya taifa la Japan kuona ulimwengu usiokuwa na silaha za nyuklia, [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF linasema kuwa ukiukaji mbaya wa haki za binadamu umeripotiwa kwenye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ukiwemo mauaji ya kijiji kizima na makundi yaliyojihami, ubakaji, utekaji nyara na kuwaingiza watoto kwenye jeshi. Kote nchini DRC karibu watoto milioni moja wameathiriwa na hali mbaya ya utapiamlo huku taiafa [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa mataifa UNICEF linasema kuwa ugonjwa kwa kipindupindu kwa sasa umeripotiwa kwenye eneo la sahel eneo ambalo watoto tayari wamedhoofishwa na ukosefu wa lishe na utapiamlo. Nchini Niger hali inaendelea kuchochewa na mavuno haba baada ya mimea kukumbwa na magonjwa. Mwishoni mwa mwezi July watoto 161,000 walio chini ya [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Vikosi vya pamoja vya Umoja wa Mataifa na muungano wa Afrika vya kulinda amani Darfur UNAMID vimesema vinatiwa hofu na machafuko na mashambulizi dhidi ya raia katika mji wa Kutum na viunga vyake katika jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan Kwa mujibu wa mkuu wa vikosi hivyo Ibrahim Gambari mauaji na uharibifu sio jibu na [...]
07/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »