Nyumbani » 01/08/2012
Entries posted on “Agosti 1st, 2012”
Kusikiliza /

Ugaidi ni lazima usiruhusiwe kurudisha nyuma mafanikio muhimu katika mchakato wa amani unaoendelea wa kuunda serikali mpya na taasisi za kudumu nchini Somalia. Huu ndio ujumbe wa Katibu Mkuu, katika taarifa aliotoa kufuatia jaribio la kushambulia jengo ambapo Mkutano wa Kimataifa wa Baraza la Katibu uliokuwa ukifanyika, kupitisha katiba mpya leo Jumatano. Katibu Mkuu amekaribisha [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Bara la Afrika linahitaji kutilia maanani mseto wa uchumi pamoja na bishara ya kilimo ili kuweza kuliinua bara hilo kutoka umaskini na kuliweka kwenye mkondo wa maendeleo. Hii ni kwa mujibu wa afisa wa ngazi ya juu kutoka kwenye Umoja wa Mataifa. Mkurugenzi mkuu wa shirika la maendeleo ya kiviwanda la Umoja wa Mataifa Kandeh [...]
01/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Viongozi wa serikali ya mpito ya Somalia na wawakilishi wa majimbo yote ya nchi hiyo wanaokutana Moghadishu wamepitisha kwa wingi wa kura katiba mpya ambayo inafungua mlango wa kuchaguliwa kwa serikali mpya mwezi huu. Jumla ya wawakilishi 825 walikuwa wakijadili kuhusu katiba hiyo kwa juma zima na 621 wamepiga kura ya ndiyo, 13 wamepinga na [...]
01/08/2012 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amemteua msaidizi wake wa masuala ya mawasiliano na habari kwa umma Peter Launsky-Tieffenthal kuwa mratibu wa masusla ya wingi wa lugha. Uteuzi huo unajiri baada ombi la baraza kuu la Umoja wa Mataifa kwa Ban wa kumataka amteue afisa wa ngazi za juu kwenye Umoja wa Mataifa [...]
01/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Watabiri wa hali ya hewa wameitahadharisha China juu ya uwezekano wa kuzuka kwa kimbunga kiitwacho Saola ambacho kinaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na maisha ya watu. Tayari watu kumi wamefariki dunia wakati kipunga hicho kilipopiga sehemu ya Philippines Kwa mujibu wa tangazo lilitolewa na mamlaka ya hali ya hewa ya kimataifa WMO pamoja na [...]
01/08/2012 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Syria unasema waangalizi wa kimataifa wameshuhudia ndege za kivita zikishambulia kwenye mji mkbwa kabisa wa Syria ambako mapigano yametanda kwa karibu wiki mbili sasa. Msemaji wa mpango huo UNSMIS Susan Ghosheh ameelezea hofu yake kuhusu hali mjini Aleppo. Amesema jana kwa mara ya kwanza wameshuhdia mashambulizi hayo ya anga [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP limekaribisha uamuzi wa serikali ya Nigeria wa hatua kubwa ya usafishaji wa mafuta machafu ya Ogoniland kwenye jimbo la Niger Delta. Miezi 12 iliyopita UNEP iliwasilisha tathimini yake ya uchafuzi wa mafuta Ogonland kwa Rais wa serikali ya Nigeria Goodlck Jonathan ikielezea athari kubwa za mafuta hayo [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Katika maadhimisho ya 20 ya wiki ya unyonyeshaji duniani shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema sera imara za kitaifa kuunga mkono unyonyeshaji zinaweza kuzuia vifo vya takribani watoto milioni moja wa chini ya umri wa miaka mitano kila mwaka katika nchi zinazoendelea. UNICEF inasema licha ya shahidi kwamba unyonyeshaji unazuia maradhi [...]
01/08/2012 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Ufaransa inaanza mzunguko wa Urais wa Baraza la Usalama mwezi huu wa Agosti na balozi wake kwenye Umoja wa Mataifa anatumai kwamba kutakuwa na muafaka wa kimataifa kuhusu kuchukua hatua dhidi ya Syria. Balozi Gérard Araud anasema ni bahati mbaya kwamba wajumbe hawajapata suluhu ya mgogoro wa Syria ambao umeshika kasi wiki za karibuni. Balozi [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP limepeleka msaada wa chakula kwa watu 28,000 mjini Aleppo kwa siku chache zijazo baada ya kupata taarifa za upungufu wa chakula,g esi na umeme vilivyosababishwa na mapigano yanayoendelea kwa wiki kadhaa sasa. Shirika hilo linasema hali ya kibinadamu inazidi kuzorota na mahitaji ya chakula yanaongezeka [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kusikiliza /

Viongozi wa serikali ya mpito ya Somalia wanaokutana Moghadishu wamepitisha kwa wingi wa kura katiba mpya ya nchi hiyo ambayo inafungua mlango wa kuchaguliwa kwa serikali mpya mwezi huu. Jumla ya wabunge 825 walikuwa wakijadili kuhusu katiba hiyo kwa juma zima na wabunge 621 wamepiga kura ya ndiyo, 13 wamepinga na 11 hawakupiga kura kabisa. [...]
01/08/2012 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »