UM washirika maonyesha ya saba saba Tanzania

Kusikiliza /

Afisa Habari wa UM akitoa maelezo kwa wananchi

Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania yameingia kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara sabasaba kwa ajili ya kutumia fursa hiyo kuelezea shughuli mbalimbali za Umoja huo nchini humo.

Hii ni mara ya pili kwa Umoja wa Mataifa kushiriki kwenye maonyesho hayo ambayo kilele chake kinafikia tarehe 7 mwezi huu.

Kutoka Dar es Salaam, George Njogopa anaarifu zaidi.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031