Mood atoa hakikisho la kujitolea kwa UM nchini Syria

Kusikiliza /

Meja Jenerali Mood akizungumza na waandishi habari

Mkuu wa kundi la Umoja wa Mataifa nchini Syria Meja jenerali Robert Mood hii leo amekutana na naibu Waziri wa mambo ya kigeni nchini Syria.

Akihutubia waandishi wa habari baada ya mkutano huo Mood aliwakumbusha waandishi hao kuwa oparesheni ya Umoja wa Mataifa nchini Syria ilisitishwa tarehe 15 mwezi Juni.

Amesema kuwa viwango vya juu vya machafuko nchini Syria vimetatiza juhudi za Umoja wa Mataifa kutekeleza wajibu wake nchini humo. Aliwakikishia watu wa Syria kuwa UM wa Mataifa utaendelea na juhudi zake za kuwasaidia.

(SAUTI YA MEJA JENERALI MOOD)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031