Baraza la Usalama lazitolea mwito Israel na Lebanon kuendelea na Majadiliano Kumaliza Mikwamo

Kusikiliza /

baraza la usalama

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea kuridhishwa kwake na hatua zinazopigwa kukwamua mkwaruzano wa mambo baina ya Israel na Lebanon ambazo zimeshindana kwa muda mrefu juu ya eneo linalojulikana ukanda wa Blue unaotenganisha mataifa hayo mawili.

Hata hivyo baraza hilo limezihimiza mataifa hayo kuendelea kupiga hatua zaidi ili kuyatafutua ufumbuzi baadhi ya maeneo yaliyosalia.

Katika taarifa yake kufuatia mkutano wake wa ndani, baraza hilo la usalama limezitolea mwito pande zote mbili kuendelea kufanya kazi kwa pamoja na tume ya pande tatu ili kufikia shabaha ilitokusudiwa.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031