Wakimbizi 800,000 walazimika kuvuka mipaka 2011:UNHCR

Kusikiliza /

Ripoti mpya ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, inasema mwaka wa 2011 uliweka rekodi kwa kushuhudia idadi ya wakimbizi 800,000, ambayo ndio idadi kubwa zaidi ya watu kuwahi kuvuka mipaka kama wakimbizi,tangu mwaka 2000.

Ripoti hiyo ambayo imetolewa leo iitwayo 2011 Global Trends, inaonyesha kwa mara ya kwanza kiwango cha ukimbizi uliotokana na mizozo ya kibinadamu iliyoanzia Ivory Coast mwishoni mwa mwaka 2010, na kufuatiwa na mingine Libya, Somalia, Sudan na kwingineko. Jumla ya watu milioni 4.3 walilazimika kuhama makwao upya, wakiwemo 800, 000 waliovuka mipaka na kuwa wakimbizi katika nchi nyingine. Jason Nyakundi anaripoti

(RIPOTI YA JASON NYAKUNDI)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031