OCHA yatangaza ombi mpya la msaada kwa eneo la Sahel

Kusikiliza /

Waathiriwa wa ukame Sahel

Umoja wa Mataifa pamoja na washirika wengine wa kutoa huduma za kibinadamu hii leo wametoa wito mpya wa misaada ya kuwasaiadia watu wa Sahel magharibi mwa Afrika.

Wito huo wa pamoja ambao ni wa dola bilioni 1.6 utagharamia huduma za chakula , afya , usafi na usaidizi mwingine ambao utatolewa kwa watu milioni 18.7.

Wito mpya ulitolewa kusaidia mataifa ya Burkina Faso,  Mali, Mauritania, Chad na Niger huku Cameroon na Gambia pia zikitajwa kuwa baadhi ya nchi zinazohitaji misaada. David Gressly ni mtatibu wa shirika la OCHA eneo la Sahel.

(SAUTI YA DAVID GRESSLY)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031