Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ataka haki za waathiriwa wa ugaidi kushughulikiwa

Kusikiliza /

Bw. Ben Emmerson

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamku na vita dhidi ya ugaidi Ben Emmerson ameshauri serikali kote duniani ambazo zinakabiliwa na hatari ya ugaidi kulinda kwa pamoja haki za waathiriwa wa ugaidi. Emmerson amesema kuwa ugaidi una athari za moja kwa moja kwa haki za binadamu ikiwemo haki ya kuishi.

Akiongea alipokuwa akiwasilisha ripoti yake ya kila mwaka kwa baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa Emmerson amesema hata baada ya kuwepo njia za kupamana na ugaidi duniani bado haijapatikana njia ya kushughulikia haki za waathiriwa wa ugaidi.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031