Brazil yachukua urais wa mkutano wa maendeleo wa Rio+20

Kusikiliza /

Pragati Pascale

Mazungumzo ya mwiso kuhusu hati ya kisiasa ya mkutano wa Rio+20 yataongozwa naBra zil ambaye sasa amechukua rasmi urais wa mkutano kuhusu maendeleo endelevu.

Waakilishi wa serikali walimaliza awamu ya tatu na ya mwisho ya maandalizi yake kabla ya kuandaliwa kwa mkutano huo wakiwa wamekubaliana asilimia 40 ya hati hiyo.

Waziri wa mambo ya nje nchini Brazil Antonio Patriota anasema kuwa ana uhakika kuwa makubalaino yataafikia tarehe 18 mwezi huu ambapo alitaka kuwepo ushirikiano wa

pande zote kabla ya kuwasili kwa viongozi wa nchi.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031