UM waanza usambazaji wa chakula kwa waathiriwa wa mafuriko nchini Musumbiji

Kusikiliza /

mafuriko nchini Mozambique yasababisha uhaba wa chakula

Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limeanza kutoa misaasa nchini Musumbiji ambapo Takriban watu 70,000 wanahitaji kwa dharura usaidizi baada ya taifa hilo kukumbwa na tufani. Usambazaji wa misaada ulianzia kwenye mkoa wa Zambezia ambapo takriban watu 60,000 wanapata misaada ikiwemo unga na bidhaa zingine.

WFP inasema kuwa ina matumaini ya kutoa chakula cha dharura kwa watu 65,000 mkoani Zambezia na wengine 6500 mkoani Maputo.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031