Mahakama ya kimataifa yapanga kuwasomea mashtaka watuhumiwa wa mauji wa Hariri nchini Lebanon

Kusikiliza /

mahakama ya Lebanon

Mahakama huru iliyoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza mauwaji ya aliyekuwa kiongozi wa Lebanon Rafik Hariri imesema kuwa inakusudia kuwapandisha kizimbani watuhumiwa 4 wa tukio hilo.

Hata hivyo watuhumiwa hao ambao wanadaiwa kuendesha mashambulizi hayo watasomewa mashtaka bila wao kuwepo mahakamani.

Salim Jamil Ayyash, Mustafa Amine Badreddine, Hussein Hassan Oneissi na Assad Hassan Sabra, wote wakiwa raia wa Lebanon wamekutikana na kesi ya kujibu wakidaiwa kuhusika kwenye ulipuaji wa bomu, lilimua Bwana Hariri na wengine 22 February 14, Mjini Beirut

Lakini hata hivyo mahakama hiyo haikuweza kueleza ni lini kesi hiyo itaanza kusililizwa mbali ya kusisitiza kuandaliwa kwanza kwa mazingira mazuri

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031