ECOSOC kuwahakikishia ajira vijana

Kusikiliza /

mkutano wa ECOSOC

Shirika la uchumi na jamii la Umoja wa Mataifa ECOSOC linasema kuwa kuhakikisha kuwepo ajira kwa vijana ni moja ya malengo makuu ya shirika hilo mwaka 2012. ECOSOC inaanza mkutano wa siku nne hii leo kujadili hali ya sasa ya uchumi duniani.

Mkurugenzi wa ofisi ya kutoa ratiba kwenye shirika la ECOSOC Hanif Navid anasema kwamba shirika hilo lina lengo la kubuni ajira kwa lengo la kumaliza ukosefu wa nafasi za kazi duniani.

(SAUTI YA HANIF DAVID)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031