DRC yatakiwa kutatua tofauti za kisiasa kwa amani

Kusikiliza /

Roger Meece

Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwenye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo MONUSCO balozi Roger Meece amewataka wenyeji wa nchi hiyo kutumia njia za kisheria kutatua mzozo wa uchaguzi unaondelea nchini humo.

Hii ni baada ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini DCR kupinga matokeo ya uchaguzi huo. Akiliarifu baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu hali nchini DRC Meece amesisitiza kuwe na mazunguzmo nchini humo.

(SAUTI YA ROGER MEECE)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031