Matarajio ya mazunguzo kwenye mkutano wa Durban ni ya chini:Ban

Kusikiliza /

Ban Ki-moon akiwa na Jacob Zuma, na Christiana Figueres

Katibu Mkuu wa Umoja wa Matifa Ban Ki-moon amesema kwamba matarajio kwenye majadilioni kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa mjini Durban ni ya chini. Ban ameyasema hayo hii leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa majuma mawili kuhusu hali ya hewa ambapo mataifa yatakubaliana kuhusu kupunguza hewa chafu ili kuzuia kupanda kwa nyuzi ya joto duniani.

Mkutano huu pia utazindua mazungumzo kuhusu mfuko wa hali ya hewa wa kusaidia nchi maskini kuishi kulingana na mabadiliko ya hali ya hewa na kuzisaidia maskini kwenye matumizi ya teknolojia isiyochafua mazingira.

(SAUTI YA BAN KI-MOON)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Kuungana

 

Mei 2012
T N T K J M P
« apr    
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031