UNDP yazindua ripoti ya maendeleo ya binadamu mwaka 2011 nchini Tanzania

Shirika la maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP limezindua ripoti ya maendeleo ya binadamu mwaka 2011 nchini Tanzania. Washirika mbali mbali walihudhuria mkutano huo wakiwemo Dr Paniel Lyimo, katibu mkuu wa kudumu kwenye ofisi ya waziri mkuu wa Tanzania ambaye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Bohela Lunogelo, na Dr. Amani Ngusaro. Wasikilizeni wakizungumza wakati wa uzinduzi huo.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031