Kuumaliza mgogoro baina ya Israel na Palestina kumechelea sana:UM

Lynn Pascoe

Kumaliza mgogoro baina ya Israel na Palestina na kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina kumechelewa sana. Hivyo ndivyo alivyosema mkuu wa masuala ya kisiasa wa Umoja wa Mataifa Lynn Pascoe alipokuwa akitoa taarifa kwenye baraza la usalama kuhusu Mashariki ya Kati hii leo.

Bwana Pascoe amesema kwamba Waisrael na Wapalestina bado wako njia panda kuhusu majadiliano ya amani huku kutoaminiana kukiongezeka.

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Juni 2013
T N T K J M P
« mei    
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930