Katika vita vya ukimwi Tanzania kuongeza elimu, madawa na utafiti:Dr Bilal

Dr Gharib Bilal na Flora Nducha

Serikali ya Tanzania inasema pamoja na kupiga hatua katika vita dhidi ya ukiwmi bado ina safari ndefu ingawa zaidi ya asilimia 50 ya waathirika wanapata dawa za kurefusha maisha.

Kwa mujibu wa Makamu wa Rais wa nchi hiyo Dr Mohammed Gharib Bilal aliyezungumza kwa kina na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa mataifa Flora Nducha nia yao ni kufikia maambukizi sufuri, vifo sufuri na unyanyapaa sufuri dhidi ya ukimwi.

Msisitizo pia inaweka kwa kina mama ambao inaonekana hawana maamuzi makubwa ikilinganishwa na wanaume katika gonjwa hilo hatari. Dr Bilal anaanza kwa kufafanua hatua zilizopigwa na taifa hilo la Afrika ya Mashariki katika mapambano ya ukimwi.

(MAHOJIANO NA DR BILAL)

Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

 

Mei 2013
T N T K J M P
« apr    
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031